- Miss tanzania 1994

AINA MAEDA - Yupo Afrika ya Kusini, ameolewa na anafanya kazi huko kama mwanamitindo. [ + ] more
- Miss tanzania 1995

EMILY ADOLF - Yupo hapa Nchini, Ameolewa na ana miliki Mgahawa mmoja hapa jijini. [ + ] more
- Miss tanzania 1996

SHOSE SINARE - Yupo hapa Nchini, Ameolewa na anafanya kazi kama Mkurugenzi katika benki ya StanBic. [ + ] more
- Miss tanzania 1997

SAIDA KESSY - Yupo Arusha, Ameolewa na anafanya kazi na Mahakama ya Kimataifa ICTR. [ + ] more
- Miss tanzania 1998

BASILA MWANUKUZI - Yupo jijini DSM anafanya kazi binafsi katika duka liitwalo The Look Beauty Parlor. [ + ] more
- Miss tanzania 1999

HOYCE TEMU - Yupo hapa Nchini, anafanyakazi binafsi za Ushauri [Consultation ] [ + ] more
- Miss tanzania 2000

JACQUELINE NTUYABALIWE - Yupo hapa Nchini akifanya kazi kama Msanii wa Kizazi kipya. [ + ] more
- Miss tanzania 2001

HAPPINESS MAGESE - Yupo Marekani akifanya kazi kama Mwanamitindo. [ + ] more
- Miss tanzania 2002

ANGELA DAMAS - Yupo nje ya Nchi akifanya kazi na Taasisi moja ya Umoja wa Mataifa. [ + ] more
- Miss tanzania 2003

SYLIVIA BAHAME - Yupo hapa Nchini akifanya kazi kama Mwanasheria. [ + ] more
- Miss tanzania 2004

FARAJA KOTTA - Bado Mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha D'salaam. [ + ] more
- Miss tanzania 2005

NANCY SUMAR - Yupo hapa Nchini, akifanya shughuli binafsi [ + ] more
- Miss tanzania 2006

WEMA SEPETU - Ni mrembo anayefanya kazi binafsi za Sanaa ya Maigizo. [ + ] more
- Miss tanzania 2007

RICHA ADHIA - Ni mrembo anayefanya kazi zake binafsi katika duka liitwalo Beauty Clinic jijini DSM. [ + ] more
- Miss tanzania 2008

NASREEN KARIM - Ni mrembo aliyemaliza muda wake na kwa sasa anatarajia kujiunga na masomo ya Chuo Kikuu. [ + ] more
- Miss tanzania 2009

MIRIAM GERALD - Miss Tanzania anayeshikilia Taji⦠[ + ] more
